|
||||||||||||||||||||||
|
RADIO HURUMA. (TANGA DIOCESE MULTIMEDIA COMPANY LTD (TDMCL)) |
||||||||||||||||||||||
|
RADIO HURUMA IN FULL OPERATION |
||||||||||||||||||||||
Matangazo haya yalianza na urushaji wa ibada ya misa ya mkesha wa Sikukuu ya
Krismas, ibada iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu
Anthony wa Paduaathedral Church Chumbageni Tanga. Ibada hii iliongozwa na
Mhashamu Askofu Anthony
M. Banzi Askofu wa Jimbo Katoliki
Tanga Diocese. Siku hadi siku Radio Huruma imezidi kuimarika na kuwa
chombo muhimu kwa wakazi wa Tanga kwa upande wa Elimu, na Burudani. MALENGO YA RADIO HURUMA (RH) Ni kuwaambsha wakazi wa Tanga kifikira hasa katika mambo yanayohusu
maendeleo yao na pia kutangaza neno la Mungu. Radio Tanzania Dar Es Salaam
ambayo kwa sasa inafahamika kwa jina la TBC Taifa, utangaza habari zinazohufu
Taifa zima. Ni mara chache sana TBC Taifa hutangaza habari za Tanga na kwa
ufupi sana. Tanga yapo mengi ambayo yanatakiwa kutangazwa, hili pia
nimepelekea kuanzishwa kwa kituo hiki cha Radio Tanga. Radio Huruma
itaangalia kwa undani kila siku mambo yanayohusu Tanga, shughuli za wakazi wa
Tanga na kuimiza ujenzi wa uchumi kwa kila mkazi wa Tanga. Radio Huruma hutoa elimu kwa wasikilizaji wake, kuwahabarisha, kuburudisha
kuhamasisha umoja na amani, upendo, haki sambamba na kulitangaza neno la
Mungu. Kwa kufanya hivyo Kanisa Tanga linakamilisha ile kazi inayofanywa na
serikali katika mapambano ya umasikini, ujinga, maradhi na kuwaandaa
watanzania kuwa watu wema. Radio Huruma inajitahidi kujenga jamii yenye
kuzingatia misingi ya haki, amani na upendo. KITUO KILIPO: MASAFA YETU: Hawa ni wafanyakazi waanzilishi wa kituo cha Radio Huruma
|
||||||||||||||||||||||
|
|